Baraza
la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya mitihani ya
kujipima ya darasa la nne huku matokeo hayo yakionyesha wanafunzi wengi
wamefeli katika somo la Kiingereza kwa asilimia 65.67 katika mitihani
hiyo iliyofanyika mwishoni 2015.
Thursday, January 21, 2016
NECTA:HAYA HAPA MATOKEO DARASA LA NNE 2015
MASWAYETU EXCLUSIVE BLOG
Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0768 260834. Soma Zaidi
- Next HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA JANUARY 22 2016
- Previous Waziri wa elimu Dr Joyce Ndalichako afuta rasmi mfumo wa kukokotoa matokeo kwa mtindo wa GPA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
POST A COMMENT